Mhubiri 10 : 20 Ecclesiastes chapter 10 verse 20

Swahili English Translation

Mhubiri 10:20

Usimlaani mfalme, la, hata katika wazo lako; Wala usiwalaani wakwasi chumbani mwako; Kwa kuwa ndege wa anga ataichukua sauti, Na mwenye mabawa ataitoa habari.
soma Mlango wa 10

Ecclesiastes 10:20

Don't curse the king, no, not in your thoughts; And don't curse the rich in your bedchamber: For a bird of the sky may carry your voice, And that which has wings may tell the matter.