Mhubiri 10 : 20 Ecclesiastes chapter 10 verse 20
Swahili | English Translation |
---|---|
Mhubiri 10:20
Usimlaani mfalme, la, hata katika wazo lako; Wala usiwalaani wakwasi chumbani mwako; Kwa kuwa ndege wa anga ataichukua sauti, Na mwenye mabawa ataitoa habari.
|
Ecclesiastes 10:20Don't curse the king, no, not in your thoughts; And don't curse the rich in your bedchamber: For a bird of the sky may carry your voice, And that which has wings may tell the matter. |